HATIBU MGEJA MWENYEKITI MPYA TRCS MKOA WA SHINYANGA,ASISITIZA USHIRIKIANO KUKIJENGA CHAMA Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) Mkoa wa Shinyanga kimefanya uchaguzi wa viongozi wapya, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuimarisha uongozi …
BARRICK KUENDELEA KUNUFAISHA WATANZANIA KUPITIA UTEKELEZAJI WA SERA YA MAUDHUI YA NDANI Waziri wa Madini , Anthony Mavunde akiongea kwenye ufunguzi wa Jukwaa la tano la utekelezaji wa ushirikishwaji wa watanzania kwenye sekta ya madini…
ILI KUFANIKISHA DIRA 2050 TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUACHANA NA UTENDAJI WA MAZOEA Na Mwandishi Wetu - Pwani. Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika u…
CHEREHANI AKABIDHI SH. MILIONI 603.8 ZA SHULE YA SEKONDARI KALO Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Mhe. Emmanuel Cherehani, akizungumza na wananchi wakati wa kukagua eneo la ujenzi wa Shule ya Sekondari Kalo kabla y…
KUTOKA AHADI HADI MATENDO: CHEREHANI APELEKA SH. BILIONI 1.2 ZA ELIMU USHETU Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Mhe. Emmanuel Cherehani, akizungumza na wananchi wakati wa kukagua eneo la ujenzi wa Shule ya Sekondari Kalo kabla ya ku…